Monday, September 28, 2009

MAMA MARIA NYERERE ALONGA NA WANAHABARI LEO!!




Mjane wa baba wa Taifa mama Maria Nyerere akiongea na wanahabari nyumbani kwake msasani jijini leo, wakati alipotoa taarifa juu ya tuzo aliyoipokea kwa niaba ya Marehemu Malimu J.K.Nyerere kutoka kwa rais wa balaza kuu la umoja wa mataifa katika kutambua mchango wake kwa nchi za bara la Afrika, kushoto ni mtoto wake Makongaro Nyerere.

No comments:

RAIS SAMIA AFUNGUA DARAJA LA J.P MAGUFULI: MLANGO WA MAENDELEO, HISTORIA MPYA YA KIGONGO–BUSISI

Misungwi, Mwanza – 19 Juni 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan leo amefungua rasmi Daraja la ...