Thursday, September 10, 2009

Mercedes Benz E-Class lazinduliwa na DT Dobie Tz


Jokate Mwegelo msemaji wa Kampuni ya DT Dobie Tanzania akijaribu gari mpya aina ya Mercedes Benz E Class, Sehemu mapato ya mauzo ya gari hilo yatatumika katika kusaidia vituo mblalimbali vinavyohudumia watoto yatima ambao wazazi wao wamefariki kwa madhara ya UKIMWI. Kulia ni Meneja Biashara wa kampuni hiyo Wayne Mcintosh na katikati ni Marco Kahabi ambaye ni Meneja wa Tenda wa kampuni hiyo.

No comments:

RAIS SAMIA AFUNGUA DARAJA LA J.P MAGUFULI: MLANGO WA MAENDELEO, HISTORIA MPYA YA KIGONGO–BUSISI

Misungwi, Mwanza – 19 Juni 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan leo amefungua rasmi Daraja la ...