Friday, January 23, 2026

*MV NEW MWANZA YAZINDULIWA RASMI*








WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amezindua meli ya kisasa MV New Mwanza, akibainisha kuwa ni uwekezaji wa kimkakati wa Serikali katika kuimarisha usafiri wa majini, usalama wa abiria na kukuza uchumi wa Kanda ya Ziwa.

 “Serikali imejidhatiti kuhakikisha usafiri wa majini unakuwa salama, wa uhakika na unaowanufaisha wananchi,” — Dkt. Mwigulu Nchemba

MV New Mwanza ina uwezo wa kubeba abiria 1,200, mizigo tani 400 na magari, huku safari ya Mwanza–Bukoba ikichukua takribani saa 6. Mradi huu umegharimu USD 51.83 milioni (takribani TSh bilioni 120.56).


 

No comments:

RAIS SAMIA AKUTANA NA MJUMBE MAALUM WA JUMUIYA YA MADOLA IKULU DAR ES SALAAM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 15 Aprili 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na Mjumbe...