Friday, December 09, 2016

RAIS MAGUFULI ALIVYOONYESHA UKAKAMAVU BAADA YA KUKAGUA GWARIDE


December 9 2016 zimefanyika sherehe za maadhimisho ya 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara ikiwa ni ya kwanza chini ya Rais Magufuli ambapo aliwasili kwenye uwanja wa Uhuru Dar es salaam kwa ajili ya sherehe hizo na alipata nafasi ya kukagua gwaride na baada ya kumaliza na yeye akaonyesha kutembea mwendo wa ukakamavu.

No comments:

🔴🔴HIFADHI YA MPANGA-KIPENGERE YAENDELEA KUWA LULU YA VIZAZI VIJAVYO

  📍Wanafunzi wa Nyanda za Juu Kusini Wapiga Kambi Kujifunza na Kutali  Na Beatus Maganja, Njombe. Wahenga walioshiba tunu za uhifadhi na ut...