Tuesday, December 06, 2016

MAJALIWA AWASILI NGORONGORO

ngom2
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama ngoma ya asili ya Wairaq  baada ya kuwasili kwenye Ofisi za Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro akiwa katika ziara ya mkoa wa Arusha Desemba 6, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
ngom3
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama ngoma ya asili ya kabila la Wairaq baada kuwasili kwenye ofisi za Mamlaka ya  Hifadhi ya Ngorongoro akiwa katika ziara ya mkoa wa Arusha Desemba 6, 2016. Kushoto kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo na wapili kulia kwake ni  Waziri  wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

MTUHUMIWA WA “KUFUTA MADENI” YA MIKOPO AKIRI KOSA, AHUKUMIWA KIGOMA

KIGOMA, Septemba 4, 2026 — Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Kigoma imemhukumu Nicholaus Komba Mahitana maarufu kama Abdallah Mahimbo baad...