Monday, September 06, 2010

Vuvuzela Original


Mzee wa Kabila la Wahehe, Lucas Mtumbuka (74), akipuliza vuvuzela la kienyeji linalotambulika kwa jina la Baragumu, wakati wa makaribisho ya Mgombea Mwenza Dk Mohamed Gharib Bilal, alipokuwa akiwasili kwenye Uwanja wa Manispaa ya Iringa jana Sept 05 kufanya mkutano wa kampeni na kumnadi mgombea ubunge wa Jimbo la Iringa mjini, Monica Mbega.

No comments:

WABUNGE WAJENGEWA UWEZO WA HAKI MADINI NA HAKI ARDHI

  Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imepatiwa mafunzo maalum kuhusu Sheria, Kanuni na Miongozo ya Sekta ya Madini, kwa lengo la...