Saturday, September 04, 2010

Kikwete ahutubia Ngerengere leo


Baadhi ya wananchi wa Kata ya Ngerengere Morogoro vijijini wakimsalimia kwa shauku mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi,Dr.Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi kabla ya mgombea huyo kuwahutubia katika mkutano wa hadhara wa kampeni leo asubuhi (picha na Freddy Maro)

No comments:

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AMTEMBELEA MHE. FARIDA AMOUR MOH'D HOSPITALINI, AMTAKIA AFYA NJEMA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla , leo tarehe 21 Mei 2026 amemtembelea na kumjulia hali Mwakilishi wa Viti M...