Saturday, September 04, 2010

Kikwete ahutubia Ngerengere leo


Baadhi ya wananchi wa Kata ya Ngerengere Morogoro vijijini wakimsalimia kwa shauku mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi,Dr.Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi kabla ya mgombea huyo kuwahutubia katika mkutano wa hadhara wa kampeni leo asubuhi (picha na Freddy Maro)

No comments:

WABUNGE WAJENGEWA UWEZO WA HAKI MADINI NA HAKI ARDHI

  Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imepatiwa mafunzo maalum kuhusu Sheria, Kanuni na Miongozo ya Sekta ya Madini, kwa lengo la...