Wednesday, September 08, 2010

Midahalo sumu kwa CCM



Wafuasi wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakiwa nje wa hoteli huku wakifurahia mara baada ya kumalizika mdahalo wa Wagombea wa ubunge wa jimbo la Arusha Mjini uliofanyika katika hoteli ya Golden Rose mjini Arusha, mdahalo huo ulikuwa ukirushwa na Shirika la Utangazaji nchini (TBC1) na mgombea wa CCM katika jimbo hilo Batilda Burian aliingia mitini, taarifa zilizopatikana baadaye zilieleza kuwa wagombea wote wa CCM wamepigwa marufuku kushiriki midahalo ya aina hiyo kwa kuwa inawapotezea pointi baada ya mgombea wa ubunge jimbo la Ubungo, Hawa Nghumbi kuchemka kujibu maswali katika mdahalo uliopita(PICHA NA MOSES MASHALLA)

No comments:

WABUNGE WAJENGEWA UWEZO WA HAKI MADINI NA HAKI ARDHI

  Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imepatiwa mafunzo maalum kuhusu Sheria, Kanuni na Miongozo ya Sekta ya Madini, kwa lengo la...