Tuesday, September 07, 2010

Ngoma za kwetuuuzzz

Wasanii wa ngoma za asili wa kikundi cha Dhahabu wakitumbuiza kwenye mkutano wa wadau kujadili mambo muhimu ya Katiba ya Jamhuri ya muungano na mabadiliko ya kumi ya Katiba ya Zanzibar, jijini Dar es Salaam leo. Picha na Michael Jamson

No comments:

WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA BELARUS AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI

  Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Belarus, Mheshimiwa Maxim Ryzhenkov, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia Aprili...