Tuesday, September 07, 2010

Ngoma za kwetuuuzzz

Wasanii wa ngoma za asili wa kikundi cha Dhahabu wakitumbuiza kwenye mkutano wa wadau kujadili mambo muhimu ya Katiba ya Jamhuri ya muungano na mabadiliko ya kumi ya Katiba ya Zanzibar, jijini Dar es Salaam leo. Picha na Michael Jamson

No comments:

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AMTEMBELEA MHE. FARIDA AMOUR MOH'D HOSPITALINI, AMTAKIA AFYA NJEMA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla , leo tarehe 21 Mei 2026 amemtembelea na kumjulia hali Mwakilishi wa Viti M...