Tuesday, September 07, 2010

HUYU NDIYE DUNSTAN KITANDULA





































"Maneno si lazima yawe mengi—picha yenyewe yaeleza. Kwa ndugu zetu wa Mkinga, kazi ya maendeleo imeanza. Tunatambua si kila mmoja ana mtandao, lakini kwa wachache walioweza kuona, wasambaze ujumbe: Kasi mpya inakuja na mwelekeo unaonekana, hatua zitachukuliwa.

 

No comments:

WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA BELARUS AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI

  Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Belarus, Mheshimiwa Maxim Ryzhenkov, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia Aprili...