Tuesday, September 07, 2010

HUYU NDIYE DUNSTAN KITANDULA





































"Maneno si lazima yawe mengi—picha yenyewe yaeleza. Kwa ndugu zetu wa Mkinga, kazi ya maendeleo imeanza. Tunatambua si kila mmoja ana mtandao, lakini kwa wachache walioweza kuona, wasambaze ujumbe: Kasi mpya inakuja na mwelekeo unaonekana, hatua zitachukuliwa.

 

No comments:

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AMTEMBELEA MHE. FARIDA AMOUR MOH'D HOSPITALINI, AMTAKIA AFYA NJEMA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla , leo tarehe 21 Mei 2026 amemtembelea na kumjulia hali Mwakilishi wa Viti M...