Tuesday, May 05, 2009

Haibiwi mtu hapa lazima tupate samaki


Baadhi ya wananchi waliofika kwenye mnada wa samaki jijini Dar es Salaam jana,wakiangalia bidhaa hiyo kabla ya mnada kuanza , ambapo ulishindwa kuendelea kutakana na kutofautiana kwa bei, Serikali ilitaka sh 7,000 na wanachi walitaka iwe Sh 1,500 kwa kilo moja. Picha na Michael Jamson

No comments:

WAZIRI KABUDI AKUTANA NA KATIBU MKUU JUMUIYA YA MADOLA LONDON, UINGEREZA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Palamagamba Kabudi, amefanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Commonwealth of Nations, Shirley Botc...