
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA ALETA FURAHA NA MATUMAINI BUSEGA, AFUNGUA MRADI MKUBWA WA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI
Shamrashamra za ufunguzi wa mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira wa Lamadi, Wilayani Busega mkoani Simiyu tarehe 19 Juni, 2025 Rais wa Jamhur...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
3 comments:
Unajua tatizo la bonde la mpunga ni kuwa maji yote ya mvua yanayoelekea baharini hiyo ndiyo njia yake.
Ukiangalia mbele kidogo - ukipita kituo cha ccm kisiwani - utakuta daraja la kijitonyama - hicho kijito kina daraja dogo sana,mifereji kutoka mayfair imejaa udongo, maji hayaendi halafu kijito chenyewe hakiwezi kuhimili maji yote. Ukienda mbele kwa mwalimu maji yote yanashukia huko, halafu hakuna mifereji.
Zamani palikuwa na mifereji iliyokuwa na nafasi, maji ya mvua bonde la mpunga yalikuwa kama kiama. Mvua zikkisha tatizo mchanga ulioletwa na mvua - kuna watu walikuwa wakifyatua matofali kwa mchanga wa mvua tu.
Anyway, wakazi wa bonde la mpunga inabidi tuchukue hatua, japo tuchimbe mifereji mbele ya nyumba tu,na kwenye barabara kuu vifusi tuviondoe kwenye mifereji.
Unaona mafuriko haya yametokea mwaka huu, usishangae yakitokea tena mwaka ujao, na mwaka ujao, na mwaka ujao. Utamaduni wa kutatua tatizo likishatokea au kabla ya kutokea hatujauzoea. Na sio kuwa hatujauzoea kwakuwa hatuwezi ila kwakuwa wenye wajibu huo hawajali na wananchi hawajui jinsi ya kutumia nguvu walizonazo kuwafanya wajali. Au kutumia nguvu zao kutatua tatizo wenyewe kama alivyopendekeza Mwandani.
nice good sharing information
Post a Comment