Monday, December 11, 2006

Waheshimia Mabalozi



Balozi Augustine Mahiga, Balozi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, akizungumza na Naibu wake, Tuvako Manongi, nyumbani kwake Mt. Vernon, New York.

2 comments:

Simon Kitururu said...

Hivi ni nini kinachomfanya mtu awe balozi wa kudumu?

ARAWAY Media Tanzania said...

Kaka permanence iko katika ofisi siyo katika individual hivyo balozi anaitwa wa kudumu kwasababu tu ofisi ni ya kudumu na si vinginevyo kaka, anyway mambo zaidi vipi kaka??

RAIS SAMIA AFUNGUA DARAJA LA J.P MAGUFULI: MLANGO WA MAENDELEO, HISTORIA MPYA YA KIGONGO–BUSISI

Misungwi, Mwanza – 19 Juni 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan leo amefungua rasmi Daraja la ...