
Amini usiamini jiji la New York leo asubuhi mpaka saa 5 hivi lilikuwa kimya saana, barabara ziokafungwa kukawa na askari kibao kwaajili ya kusubiria maandamano ya kupinga kupigea risasi 50 kinyama kwa kijana mwenye asili ya kiafrika.
Misungwi, Mwanza – 19 Juni 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan leo amefungua rasmi Daraja la ...
No comments:
Post a Comment