Sunday, December 17, 2006

Maandamano New York

Wanaharakati wakiandamana wakiandamana katika barabara ya tano ya mitaa ya Manhattan, jijini hapa (New York) kupinga unyama aliofanyiwa kijana mwenye asili ya kiafrika Sean Bell ambaye alipigwa risasi hamsini.

No comments:

KAMISHNA KUJI ATOA WITO TANAPA KUWA NA SACCOS MOJA

Na Edmund Salaho - Tanga Kamishna wa Uhifadhi TANAPA, CPA Musa Nassoro Kuji ambaye pia ni mlezi wa HIFADHI SACCOS LTD ametoa wito kwa watumi...