Thursday, December 14, 2006

Mnara huu uko karibu kabisa na CNN



Ipo minara mingi hapa jijini, lakini huu unasababu yake kubwa kuwekwa humu, nayo ni kwamba upo karibu na makao makuu ya CNN.

2 comments:

Anonymous said...

wewe uko mji gani?

ARAWAY Media Tanzania said...

nipo New York hapa Manhattan lakini wiki ijayo ntakuwa bongo

KAMISHNA KUJI ATOA WITO TANAPA KUWA NA SACCOS MOJA

Na Edmund Salaho - Tanga Kamishna wa Uhifadhi TANAPA, CPA Musa Nassoro Kuji ambaye pia ni mlezi wa HIFADHI SACCOS LTD ametoa wito kwa watumi...