Monday, September 26, 2011

Rais Kikwete arejea nchini


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Waziri Mkuu Mizengo Pinda muda mfupi baada ya kuwasili kutoka New York Marekani ambapo pamoja na mambo mengine alihutubia baraza la Umoja wa Mataifa. Kushoto no Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadick
(picha na Freddy Maro).

No comments:

MAJALIWA: FANYENI TAFITI ZENYE TIJA KWA WANANCHI

Dar es Salaam, 18 Juni 2025 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, ametoa wito kwa watafiti na wapangaji wa s...