Sunday, September 18, 2011

Mambo ya vurugu Igunga


Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM (NEC) ambaye pia ni mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde akimuonyesha afisa wa polisi kioo cha nyuma cha gari aina ya Toyota Prado T 888 ALL lililorushiwa mawe jana katika kijiji cha Nkinga kati na vijana wanaodhaniwa ni wafuasi wa Chadema. (Picha na Daniel Mjema)

No comments:

🔴🔴HIFADHI YA MPANGA-KIPENGERE YAENDELEA KUWA LULU YA VIZAZI VIJAVYO

  📍Wanafunzi wa Nyanda za Juu Kusini Wapiga Kambi Kujifunza na Kutali  Na Beatus Maganja, Njombe. Wahenga walioshiba tunu za uhifadhi na ut...