Viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini wilayani Arusha wakiwa katika dua ya pamoja katika ukumbi wa CCM mkoa wa Arusha ili kuwaombea marehemu na waathirika wa ajali ya meli ya MV Spice Island iliyotokea mjini Zanzibar wiki iliyopita na kusababisha vifo vya watu 204 na kujeruhi zaidi ya 500,katika dua hiyo pia jumla ya shilingi milioni 3.6 ilichangishwa kama rambirambi ya ajali hiyo(Picha na Happy Lazaro).
Sunday, September 18, 2011
Dua wa kuwaombea wahanga wa Mv Spice Island
Viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini wilayani Arusha wakiwa katika dua ya pamoja katika ukumbi wa CCM mkoa wa Arusha ili kuwaombea marehemu na waathirika wa ajali ya meli ya MV Spice Island iliyotokea mjini Zanzibar wiki iliyopita na kusababisha vifo vya watu 204 na kujeruhi zaidi ya 500,katika dua hiyo pia jumla ya shilingi milioni 3.6 ilichangishwa kama rambirambi ya ajali hiyo(Picha na Happy Lazaro).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
🔴🔴HIFADHI YA MPANGA-KIPENGERE YAENDELEA KUWA LULU YA VIZAZI VIJAVYO
📍Wanafunzi wa Nyanda za Juu Kusini Wapiga Kambi Kujifunza na Kutali Na Beatus Maganja, Njombe. Wahenga walioshiba tunu za uhifadhi na ut...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
No comments:
Post a Comment