Miss Universe Tanzania 2010, Hellen Dausen akiwa na taji lake la maua alilopewa baada ya kutangazwa mshindi wa mashindano hayo yaliyoshirikisha mabinti 20, mashindano hayo yalifanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam Ijumaa Usiku. Picha na Fidelis Felix.
Sunday, April 25, 2010
Miss Universe Tanzania 2010
Miss Universe Tanzania 2010, Hellen Dausen akiwa na taji lake la maua alilopewa baada ya kutangazwa mshindi wa mashindano hayo yaliyoshirikisha mabinti 20, mashindano hayo yalifanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam Ijumaa Usiku. Picha na Fidelis Felix.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
CGP. KATUNGU AWATAKA MAAFISA USTAWI KUELIMISHA WAFUNGWA HAKI NA WAJIBU WAO
Na. Ssgt Mawazo Mtondo – Dodoma. Mkuu wa Jeshi la Magereza, CGP Jeremiah Yoram Katungu, amewataka Maafisa Ustawi wa Jamii wa Jeshi la Ma...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...
No comments:
Post a Comment