Sunday, October 12, 2008

Matembezi



Meya wa jiji la Dar es Salaam, Adam Kimbisa (wa pili kushoto) akiongoza matembezi ya kilomita kumi yaliyoandaliwa na Benki ya Barclays kuchangia jamii. Picha ya mdau Salhim Shao.

No comments:

MIRADI YA UCHUKUZI KUIFANYA KIGOMA KUWA KITOVU CHA BIASHARA AFRIKA MASHARIKI NA KATI - PROF. MBARAWA

Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesema Serikali ya Awamu ya Sita inaendelea kutekeleza uwekezaji mkubwa katika sekta ya uchukuzi...