Sunday, September 14, 2008

hatariii


Mwendesha pikipiki akiwa amepakia mwanamke na mtoto bila ya kuwapatia na kofia za usalama kama walivyokutwa Tabata Relini Dar es Salaam jana, jambo ni hatari kwa abiria hao endapo patatokea tatizo la ajali. Picha na Emmanuel Herman

No comments:

RAIS SAMIA AJUMUIKA NA WANANCHI WETE KWENYE FUTARI YA RAMADHANI PEMBA

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akijumuika na makundi mbalimbali ya Wananchi wa Wete kwenye F...