Wednesday, April 09, 2008

Wabunge wapya



Mbunge wa Kiteto,Mh Benedict Ole Nangoro akila kiapo cha uaminifu bungeni Dodoma jana mjini Dodoma baada ya kushinda uchaguzi katika jimbo jilo hivi karibuni.. Mbunge wa kuteuliwa, Al- Shaymaa Kwegyir akila kiapo kuwa mbunge mbele ya spika wa bunge la jamhuri wa Tanzania, Mh Samwel Sitta,mjini Dodoma jana.Picha Ofisi Ofisi ya Waziri Mkuu


Mbunge wa kuteuliwa, Al- Shaymaa Kwegyir akiapa kuwa mbunge mbele ya spika wa bunge, Samwel Sitta, mjini Dodoma leo
Picha za Edwin Mjwahuzi

1 comment:

Christian Bwaya said...

Mzee kazi yako imetulia. Huwa napita bila kuacha maoni, ila si vibaya nikifanya hivyo kukutia moyo.

Kazi yako ni njema sana.

WAZIRI RIDHIWANI KIKWETE AFUNGUA MKUTANO MKUU WA MWAKA WA CHAMA CHA WAAJIRI (ATE)

  Dar es Salaam, 18 Juni 2025 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mheshimiwa Ridhiwani J. Kikwete,...