Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiagana na wananchi waliohudhuria swala ya Eid El-Fitri katika Msikiti Mkuu wa BAKWATA (Mfalme Mohamed VI), Kinondoni. jijini Dar es Salaam tarehe 21 Machi, 2026.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiagana na wananchi waliohudhuria swala ya Eid El-Fitri katika Msikiti Mkuu wa BAKWATA (Mfalme Mohamed VI), Kinondoni. jijini Dar es Salaam tarehe 21 Machi, 2026.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameungana na waumini wa Kiislamu kuswali Swala ya Eid al-Fitr katika Msikiti Mkuu wa BAKWATA (Mfalme Mohamed VI), uliopo Kinondoni jijini Dar es Salaam, leo tarehe 21 Machi 2026.
Ibada hiyo imehudhuriwa na mamia ya waumini waliokusanyika kwa pamoja kusherehekea siku kuu hiyo katika mazingira ya amani, furaha na mshikamano.
Baada ya swala, Rais aliwasalimia wananchi na kubadilishana nao salamu za Eid, akisisitiza umuhimu wa kuendeleza maadili mema, upendo na umoja vilivyojengwa katika kipindi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani.
#EidMubarak #SamiaSuluhuHassan #Kinondoni #DarEsSalaam #Eid2026 #AmaniNaUmoja #Mshikamano #Tanzania








No comments:
Post a Comment