Thursday, November 02, 2017

RC MNDEME AWAASA VIONGOZI WA MKOA WA RUVUMA KUSHIRIKIANA KULETA MAENDELEO KWA WANANCHI

Mkuu wa mkoa wa Ruvuma B.Christina Mndeme amewataka viongozi wa mkoa wa Ruvuma na wilaya kuhakikisha wanashirikana katika kuuletea maendeleo mkoa,uki kiwataka kumpa ushirikiano zaidi .

No comments:

SERIKALI YAPELEKA TABASAMU KWA WANANCHI KUPITIA MIRADI YA MAENDELEO

Na OWM – TAMISEMI, Arusha Wananchi katika maeneo mbalimbali nchini wanaendelea kunufaika moja kwa moja na utekelezaji wa miradi ya maendele...