Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akiongoza ujumbe wa viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ambao walitembelea Shirika la Nyumba la Taifa na kuzungumza mazungumzo ya awali ya namna ambavyo Shirika litakavyoshiriki katika kulipanga upya eneo la Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar lililopo katika eneo la Sadani Bagamoyo kwaajili ya maendelezoya baadaye.
Mkurugenzi wa Uendelezaji Miliki, Haikamen Mlekio akisalimiana na Waziri wa Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi Mhe. Hamad Rashid Mohammed wakati viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar walipotembelea Shirika la Nyumba la Taifa na kuzungumza mazungumzo ya awali ya namna ambavyo Shirika litakavyoshiriki katika kulipanga upya eneo la Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar lililopo katika eneo la Sadani Bagamoyo kwaajili ya maendelezoya baadaye.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akiukaribisha ujumbe wa viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar waliotembelea Shirika la Nyumba la Taifa na kuzungumza mazungumzo ya awali ya namna ambavyo Shirika litakavyoshiriki katika kulipanga upya eneo la Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar lililopo katika eneo la Sadani Bagamoyo kwaajili ya maendelezoya baadaye.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akiukaribisha ujumbe wa viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar waliotembelea Shirika la Nyumba la Taifa na kuzungumza mazungumzo ya awali ya namna ambavyo Shirika litakavyoshiriki katika kulipanga upya eneo la Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar lililopo katika eneo la Sadani Bagamoyo kwaajili ya maendelezoya baadaye.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akibadilishana jambo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe,Mohammed Aboud Mohmamed wakati Waziri huyo na viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar walipotembelea Shirika la Nyumba la Taifa na kuzungumza mazungumzo ya awali ya namna ambavyo Shirika litakavyoshiriki katika kulipanga upya eneo la Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar lililopo katika eneo la Sadani Bagamoyo kwaajili ya maendelezoya baadaye.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akijadiliana jambo na Waziri wa Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi Mhe. Hamad Rashid Mohammed wakati wa ziara ya viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar walipotembelea Shirika la Nyumba la Taifa na kuzungumza mazungumzo ya awali ya namna ambavyo Shirika litakavyoshiriki katika kulipanga upya eneo la Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar lililopo katika eneo la Sadani Bagamoyo kwaajili ya maendelezoya baadaye.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akijadiliana jambo na mmoja wa viongozi wa Zanzibar wakati wa ziara ya viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar walipotembelea Shirika la Nyumba la Taifa na kuzungumza mazungumzo ya awali ya namna ambavyo Shirika litakavyoshiriki katika kulipanga upya eneo la Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar lililopo katika eneo la Sadani Bagamoyo kwaajili ya maendelezoya baadaye.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akibadilishana Profesa Ninatubu Lema wakati Waziri huyo na viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar walipotembelea Shirika la Nyumba la Taifa na kuzungumza mazungumzo ya awali ya namna ambavyo Shirika litakavyoshiriki katika kulipanga upya eneo la Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar lililopo katika eneo la Sadani Bagamoyo kwaajili ya maendelezoya baadaye.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akibadilishana Profesa Ninatubu Lema huku Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akiwasikkiliza wakati Waziri huyo na viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar walipotembelea Shirika la Nyumba la Taifa na kuzungumza mazungumzo ya awali ya namna ambavyo Shirika litakavyoshiriki katika kulipanga upya eneo la Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar lililopo katika eneo la Sadani Bagamoyo kwaajili ya maendelezoya baadaye.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA AKUTANA NA MJUMBE MAALUM WA JUMUIYA YA MADOLA IKULU DAR ES SALAAM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 15 Aprili 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na Mjumbe...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...
No comments:
Post a Comment