Friday, January 02, 2009

Walahi mabata ushungu miye





Wananchi wa kule Tabata wakijimwaga katika ukumbi wa Da West Night Park wakifanya mavitu yao wallahi ilikuwa babu kubwa hata Peres Mwangoka alikuwapo na akatutwangia picha hizi aisee ilikuwa balaaa wacha sijui wewe ulikuwa wapi hebu nieleze mwenzangu.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...