Tuesday, January 27, 2009

LIUMBA NA WENZAKE WAPANDISHWA KISUTU


Taarifa zilizotufikia muda mfupi uliopita zinasema kwamba yule Mkurugenzi maarufu wa BOT na siyo BoT pekee bali katika meeneo mengine Amatus Liumba na wenzake mwenzake tayari wako wawili wameshafikishwa eneo la viwanja vya mahakama ya Kisutu wakiwa katika gari la Takukuru wanasubiri kuingizwa ndani ya mahakama muda mchache ujao.

Aliwahi kuhojiwa na Takukuru muda mrefu kuhusiana na mambo ya ajira zisizofuata taratibu

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...