Friday, September 26, 2008

Mtikila na siasa zake za maji taka

Mchungaji Christopher Mtikila akiwa hospitalini baada ya kutibiwa jeraha na mwenyekiti wa chama hjichowilayani Tarime Christian Nyakihita akionyesha jiwe na shati la mtikila ambalolilikuwa limelowa damu.(Picha na Frederick Katulanda)

1 comment:

Anonymous said...

Ropa Ropa mwisho utaropoka.
Ndio yaliyomkuta ndugu yetu

MIRADI YA UCHUKUZI KUIFANYA KIGOMA KUWA KITOVU CHA BIASHARA AFRIKA MASHARIKI NA KATI - PROF. MBARAWA

Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesema Serikali ya Awamu ya Sita inaendelea kutekeleza uwekezaji mkubwa katika sekta ya uchukuzi...