Thursday, June 08, 2017

MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AMJULIA HALI MKUU WA MAJESHI MSTAAFU JENERALI DAVID MSUGURI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amemtembelea na kumjulia hali Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali David Msuguri nyumbani kwake Butiama.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi wa wilaya ya Bunda waliojitokeza barabarani kumsalimu akitokea Butiama kuelekea jijini Mwanza
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwaaga baadhi ya Wananchi wa wilaya ya Bunda waliojitokeza barabarani kumsalimu akitokea Butiama kuelekea jijini Mwanza

No comments:

🔴🔴HIFADHI YA MPANGA-KIPENGERE YAENDELEA KUWA LULU YA VIZAZI VIJAVYO

  📍Wanafunzi wa Nyanda za Juu Kusini Wapiga Kambi Kujifunza na Kutali  Na Beatus Maganja, Njombe. Wahenga walioshiba tunu za uhifadhi na ut...