Tuesday, June 13, 2017

RAIS DKT MAGUFULI AKUTANA NA WAKUU WA MIKOA WOTE



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikutana na wakuu wa mikoa wote katika kikao kilichohudhuriwa pia na Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi, baadhi ya mawaziri na Mwanasheria Mkuu wa Serikali George Masaju Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 13, 2017


2 comments:

thatis said...

her comment is here dolabuy hermes More about the author high quality replica bags visit this site replica designer bags wholesale

Anonymous said...

see high replica bags see here Ysl replica these details Dolabuy Bottega Veneta

Waziri Mkuu azindua boti mbili za doria na uokozi

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa siku 14 kwa wizara na taasisi zinazohusika na Kituo cha Kitaifa cha pamoja cha Oparesheni zipeleke w...