Friday, January 20, 2017

WAWAKILISHI WA UNEP WAKUTANA NA WAZIRI MAKAMBA


Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. January Makamba akisikiliza kwa makini Wawakilishi kutoka Shirikia La Umoja wa Mataifa linalohusika na Mazingira (UNEP) waliokuja kumtembelea Ofisini kwake mtaa wa Luthuli jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. January Makamba akiwa katika mazungumzo na Wawakilishi wa Shirikia La Umoja wa Mataifa linalohusika na Mazingira (UNEP) pamoja na Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Profesa Faustine Kamuzora mapema hii leo.

No comments:

MAMA NEEMA MWIGULU AHIMIZA TAASISI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KUPITIA UWAJIBIKAJI KWA JAMII

Mwenza wa Waziri Mkuu, Mama Neema Mwigulu Nchemba, amehimiza taasisi za umma na binafsi kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali katika kub...