Tuesday, August 24, 2010

Ufisadi misaada ya wahisani wapatiwa dawa


Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Uchumi,Ramadhan Khijjah akioyesha kwa wadau mbalimbali chapisho linaloelezea jinsi ya kupata taarifa kwa njia ya tovuti zinatoa ufafanuzi wa Mfumo wa Usimamizi wa Misaada ( Aid Management Platform System) inayotolewa na wahisani mbalimbali kwa Tanzania. Mfumo huo utawawezesha wadau mbalimbali kupata taarifa sahihi ya misaada yote inayotolewa na wahisani kwa ajili ya maendeleo ya Tanzania.picha ya Maelezo

1 comment:

Unknown said...

Assalamualaikum ... Ana moslem from indonesia ... can we meet each other?

RAIS SAMIA AFUNGUA DARAJA LA J.P MAGUFULI: MLANGO WA MAENDELEO, HISTORIA MPYA YA KIGONGO–BUSISI

Misungwi, Mwanza – 19 Juni 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan leo amefungua rasmi Daraja la ...