Sunday, June 20, 2010

Uzinduzi bodi ya TIC


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Katibu Mkuu , Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Maimuna Tarishi baada ya kuzindua Bodi ya Wakurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kwenye hoteli ya New Dodoma jana. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

1 comment:

Anonymous said...

huyu jamaa angekuwa rais labda mambo yangebadilika kidogo, anaonekana mtu wa kawaida.

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AMTEMBELEA MHE. FARIDA AMOUR MOH'D HOSPITALINI, AMTAKIA AFYA NJEMA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla , leo tarehe 21 Mei 2026 amemtembelea na kumjulia hali Mwakilishi wa Viti M...