Sunday, June 20, 2010

Uzinduzi bodi ya TIC


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Katibu Mkuu , Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Maimuna Tarishi baada ya kuzindua Bodi ya Wakurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kwenye hoteli ya New Dodoma jana. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

1 comment:

Anonymous said...

huyu jamaa angekuwa rais labda mambo yangebadilika kidogo, anaonekana mtu wa kawaida.

RAIS SAMIA ALETA FURAHA NA MATUMAINI BUSEGA, AFUNGUA MRADI MKUBWA WA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI

Shamrashamra za ufunguzi wa mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira wa Lamadi, Wilayani Busega mkoani Simiyu tarehe 19 Juni, 2025 Rais wa Jamhur...