Monday, July 09, 2007

I wapi ndege yenu ya uchumi inayopaa ?



TUNAJUA hata iweje, bajeti itakuja na itaondoka na sisi tutaendelea kuishi hata kama maisha yetu ni ya kubahatisha kwa kula mlo mmoja na maji na siku kuisha, haya yote ni maisha.

Tumewasikia waheshimiwa wetu walioko 'peponi' Dodoma wakiijadili bajeti ambayo kwetu sisi kadri tunavyoendelea kuufuatilia mjadala huo, unaendelea kutujaza hasira na kutuondolea matumaini ya kuondokana na machungu tuliyo nayo.

Wamekaa wakubwa na wawakilishi wetu wakaongeza ushuru katika mafuta, wakautetea uamuzi huo kwa nguvu zao zote. Wale wenzao, yaani wa upinzani waliukataa. Bonyeza hapa

No comments:

TANZANIA NA ZIMBABWE ZASAINI MAKUBALIANO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIBIASHARA

Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA) na Chemba ya  Biashara ya Taifa la Zimbabwe (ZNCC) wamesaini hati ya makubaliano (MoU...