Mtaa wa Samora karibu kabisa na mnara wa saa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Mwili wa Hayati Askofu Mkuu Rugambwa wapokelewa Bukoba
Mwili wa Hayati Askofu Mkuu Novatus Rugambwa, aliyefariki hivi karibuni, uliwasili leo katika Kanisa Kuu la Bikira Maria wa Huruma, Jimbo Ka...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
3 comments:
nasikia majengo dizaini hii yote yanapigwa chini na kujengwa mapya. ila sijasikia kama parking na drainage system itakuwa mpya...
yeahhh hilo nimelisikia mzee lakini si Manji pale alitaka kubomoa ile Salamander wakamkatalia wakamweleza kuwa ni eneo la hifadhi ya makumbusho ya kale, kama sikosei na wewe mzee ni member wa hii kamati ya makumbusho au upo nyingine.
Planning ni tatizo kubwa katika nchi yetu. Mm naona mamlaka husika huwa zinarusu ujenzi kwanza na baadaye zinafanya planning. Hii ni hatari kwani planning ndio kitu cha msingi. Vinginevyo matatizo ya ubomoaji, uchafu n.k hayataisha.
Post a Comment