Thursday, March 29, 2007

Antena


Hizi antena zimeingia kwa kasi bongo moja inauzwa hadi 30,000. zinaona hizooo.

1 comment:

Anonymous said...

Hawa jamaa hizi antenna zao nimeshuhudia zinafanya kazi kinoma ingepaswa wapewe nyenzo na mitaji wangefanya maajabu tu.

KIPANGULA: WAHITIMU WA HABARI WATAFAIDIKA NA MABORESHO YA KANUNI

  Na Mwandishi Wetu Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amewashauri Waandishi ...