Thursday, March 29, 2007

Antena


Hizi antena zimeingia kwa kasi bongo moja inauzwa hadi 30,000. zinaona hizooo.

1 comment:

Anonymous said...

Hawa jamaa hizi antenna zao nimeshuhudia zinafanya kazi kinoma ingepaswa wapewe nyenzo na mitaji wangefanya maajabu tu.

Mwili wa Hayati Askofu Mkuu Rugambwa wapokelewa Bukoba

Mwili wa Hayati Askofu Mkuu Novatus Rugambwa, aliyefariki hivi karibuni, uliwasili leo katika Kanisa Kuu la Bikira Maria wa Huruma, Jimbo Ka...