Monday, March 19, 2007

Watoto wa bongo

Watoto halisi wa bongo hawa wakiwa kwao.

2 comments:

mloyi said...

Watoto wa Tanzania wakiwa kwao, wanakubalika kwao? je tunawaendeleza kama wako kwao? tunawapa nafasi ya juu kwenye maisha yao?

Simon Kitururu said...

Kusema kweli wako kwao . lakini ingependeza kama wangejulishwa haki zao

MAJALIWA: FANYENI TAFITI ZENYE TIJA KWA WANANCHI

Dar es Salaam, 18 Juni 2025 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, ametoa wito kwa watafiti na wapangaji wa s...