Kuna mdau mmoja alibahatika kusafiri ndege moja na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Dk. Asha-Rose Migiro, na huu ndo ulikuwa ujumbe wake katika safari hiyo kama nilivyoukuta katika kwa kubonya hapa: ina headline ACHA HIZO MRS MIGIRO
Mama Migiro hongera sana kwa kuteuliwa kuwa deputy UN sec. general. Lakini kitendo chako cha kuichelewesha KLM for more than one hour pale DIA eti unagoma na unatia mkwara ndege isiondoke kisa one of your staff aliekuwa akiku-accompany awe upgraded to business class la sivyo ndege haiondoki sio cha kiungwana kabisa. Maskini ilibidi abiria mmoja wa business class ajitolee kukaa economy ndio staff wako akenda b-class na ndege ikaondoka but tukachelewa for more than one hour. bila hivyo sijui ingekuwaje.
Mbona nimepanda ndege mara nyingi tu na former prezo Clinton from DC-JFK tena anakaa economy?
be careful kwani hata NYC mayor tunapanda nae subway on top of that he's a billionaire.
Jamaa anaitwaDaddy Yankee
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Msajili wa Hazina, Fitch Ratings watathmini mageuzi ya taasisi za umma
Na Mwandishi wa OTR Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) Jumanne, Agosti 11, 2026, ilifanya mazungumzo na Fitch Ratings Ltd amb...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Nadhani mtakumbuka kibwagizo maarufu katika TV ambacho kinaimbwa perupe pepero perupe pepero hawa ni vijana wa Sisi Tambala waliokuwapo kati...
-
Mdau Julius Samwel hivi karibuni alikuwa huko Mwanza na hizi ndizo alizofanikiwa kutumegea, wadau hebu someni hicho kibao mniambie kuna nini...
No comments:
Post a Comment