Monday, January 08, 2007

Rais Kikwete na mstaafu Mkapa


Rais Jakaya Kikwete akiteta jambo na Rais Mstaafu Benjamin Mkapa. Nchi nyingine ni nadra sana kufanya hivi, akimaliza madaraka Rais anakuwa na mgogoro na anayefuata.

2 comments:

mloyi said...

Inapendeza, kuwaona wanakaa pamoja wakipeana mawaidha. Tutafurahi kama mawaidha yenyewe yakiwa na pale Mhe. Mkapa alipokosea amfanye Kikwete naye asitumbukie hapohapo.

Mjengwa said...

Picha hii nzuri!

KAMISHNA KUJI ATOA WITO TANAPA KUWA NA SACCOS MOJA

Na Edmund Salaho - Tanga Kamishna wa Uhifadhi TANAPA, CPA Musa Nassoro Kuji ambaye pia ni mlezi wa HIFADHI SACCOS LTD ametoa wito kwa watumi...