Aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Italia, Profesa Costa Mahalu, akitoka kizimbani ambapo alipandishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, kwa makosa sita ya uhujumu uchumi, wizi na kusababisha hasara ya zaidi ya Sh2 bilioni. Picha ya Deus Mhagale.
Monday, January 22, 2007
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Msajili wa Hazina, Fitch Ratings watathmini mageuzi ya taasisi za umma
Na Mwandishi wa OTR Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) Jumanne, Agosti 11, 2026, ilifanya mazungumzo na Fitch Ratings Ltd amb...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Nadhani mtakumbuka kibwagizo maarufu katika TV ambacho kinaimbwa perupe pepero perupe pepero hawa ni vijana wa Sisi Tambala waliokuwapo kati...
-
Mdau Julius Samwel hivi karibuni alikuwa huko Mwanza na hizi ndizo alizofanikiwa kutumegea, wadau hebu someni hicho kibao mniambie kuna nini...
2 comments:
Naombea siku wezi kama hawa watakapo kuwa wanafungika. Inasikitisha kuwa muiba vitumbua mtaani anapigwa mpaka afe lakini wezi kama hawa na kama pesa hiyo anayosehemu anaweza akajinunulia uhuru ata akifungwa.
It's the best time to make a few plans for the longer term and it's time to be hаppy.
I've learn this put up and if I may just I want to suggest you few interesting things or suggestions. Maybe you can write subsequent articles regarding this article. I want to learn more things approximately it!
my web site: bravesites.com
Here is my web page - iphone repair
Post a Comment