Wednesday, October 03, 2012

Flora Mbasha na Mumewe wafunika mjini Goma, DRC


 Flora Mbasha na mumewe Emmanuel Mbasha  wakitambulishwa kwa mashabiki wao lukuki kwenye onesho lao mjini Goma katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambako walivunja rekodi kwa wingi wa mashabiki
 Kina Ras Makunja wa DRC ilibidi waletwe kuhakikisha ulinzi ni wa kutosha
 Flora na mumewe wakifanya vitu vyao kwa furaha
 Flora na mumewe wakisindikizwa hotelini kwao
 Msafara kuelekea kwenye onesho
 Ulinzi kwa Emmanuel Mbasha

No comments:

Waziri Mkuu azindua boti mbili za doria na uokozi

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa siku 14 kwa wizara na taasisi zinazohusika na Kituo cha Kitaifa cha pamoja cha Oparesheni zipeleke w...