Monday, February 07, 2011

Usafiri wa mitaa ya Mbambabay




Hii ni sehemu ya barabara ya Mbinga - Mbambabay kama ilivyoshuhudiwa na mdau wetu aliyepita maeneo hayo juzi.

4 comments:

Anonymous said...

Maisha bora kwa kila mtanzania.

emu-three said...

Raha kweli kweli...na kweli maisha bora kwa kila mtanzania, hii ni miaka ya mtu ya uhuru...we're still in that way!
Najiuliza hivi hizo miundombinu za mkoloni zikiisha kabisa tutakuwaje...hebu angalia TAZARA walivyochonga, hivi sisi tumewahi kuchonga kama hivyo...sie kucopy and paste

emu-three said...

Raha kweli kweli...na kweli maisha bora kwa kila mtanzania, hii ni miaka ya mtu ya uhuru...we're still in that way!
Najiuliza hivi hizo miundombinu za mkoloni zikiisha kabisa tutakuwaje...hebu angalia TAZARA walivyochonga, hivi sisi tumewahi kuchonga kama hivyo...sie kucopy and paste

Anonymous said...

Msijali, miaka thelathini na zaidi ya uhuru si kitu, lami itamwagwa ndani ya miaka miwili tu,ndani ya Mh. askari kasimama mlangoni.

WABUNGE WAJENGEWA UWEZO WA HAKI MADINI NA HAKI ARDHI

  Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imepatiwa mafunzo maalum kuhusu Sheria, Kanuni na Miongozo ya Sekta ya Madini, kwa lengo la...