Sunday, February 06, 2011

Palestina wawasili kukipiga na Stars





Baadhi ya wachezaji wa timu ya taifa ya Palestina wakiwasili katika uwanja wa ndege wa Mwalimu JK Nyerere kabla ya kwenda katika Hoteli ya Transoma jijini Dar es Salaam.

No comments:

TRC KUONGEZA SAFARI ZA SGR DAR ES SALAAM–DODOMA 🚆🇹🇿

  Habari njema kwa wasafiri! Shirika la Reli Tanzania (TRC) limetangaza kuongeza safari za treni ya SGR kati ya Dar es Salaam na Dodoma kua...