Me wa Waziri Mkuu, Tunu Pinda na mke wa waziri mkuu mstaafu Rejina Lowasa wakimjulia hali mgonjwa Mwajuma Jumanne miaka 25 mkazi wa Gongo la Mboto ambaye ameumia paja katika milipuko ya mabomu ya Gongo la Mboto wiki iliyopita. Picha naOfisi ya Waziri Mkuu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
WABUNGE WAJENGEWA UWEZO WA HAKI MADINI NA HAKI ARDHI
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imepatiwa mafunzo maalum kuhusu Sheria, Kanuni na Miongozo ya Sekta ya Madini, kwa lengo la...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...
No comments:
Post a Comment