Friday, October 15, 2010

JK ahitimisha kilele mbio za mwenge


kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa mwaka huu 2010 Dr.Nassoro Ally Matuzya akimkabidhi mwenge wa Uhuru Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa sherehe za kilele cha mbio hizo kilichofanyika katika uwanja wa michezo wa Lake Tanganyika mjini Kigoma leo mchana.

1 comment:

emu-three said...

Oh, mwenge ni moja ya kumbukumbu za kumuenzi baba wa taifa, ni ishara fulani ya `ushindi' na `umoja', je historia ya mwenge inaanzia wapi, na kwanini ikawa mwenge?

CGP. KATUNGU AWATAKA MAAFISA USTAWI KUELIMISHA WAFUNGWA HAKI NA WAJIBU WAO

  Na. Ssgt Mawazo Mtondo – Dodoma. Mkuu wa Jeshi la Magereza, CGP Jeremiah Yoram Katungu, amewataka Maafisa Ustawi wa Jamii wa Jeshi la Ma...