Monday, October 25, 2010

Kampeni mgombea urais wa TLP


Katibu Mkuu wa TLP Rajabu Tao (kulia) akimnadi mgombea Urais wa chama hicho Mutamwega Mgahywa, kwa wananchi waliohudhuria mkutano wa mgombea huyo eneo la Manzese viwanja vya Bakhressa jijini Dar es Salaam juzi, ambapo walitangaza kumalizia kampeni zao Mkoani Mwanza.

Mgombea urais kwa tiketi ya TLP Mutamwega Mgahywa, akiwapungia mkono wananchi waliohudhuria mkutano wa mgombea huyo eneo la Manzese viwanja vya Bakhressa jijini Dar es Salaam juzi, ambapo wanatarajia kufungia kampeni zao Mkoani Mwanza. Picha zote na Said Powa

1 comment:

emu-three said...

TLP, sio ndio chama mwenyekiti wake ni Mrema, au nimekosea,oooh, naona siasa zinaniacha kwenye mataa...kura, aaah, nitapiga sana!

CGP. KATUNGU AWATAKA MAAFISA USTAWI KUELIMISHA WAFUNGWA HAKI NA WAJIBU WAO

  Na. Ssgt Mawazo Mtondo – Dodoma. Mkuu wa Jeshi la Magereza, CGP Jeremiah Yoram Katungu, amewataka Maafisa Ustawi wa Jamii wa Jeshi la Ma...