Tuesday, October 12, 2010

Mmea huu una jina hiloooo


Mimea hii hupatikana sana katika maeneo yenye hali ya hewa ya jangwa hususani maeneo ya mkoa wa Shinyanga na mengine yenye sifa kama mkoa huo, majani yake huwa ni mapana na ina matunda yanayofanana na mambo fulani hivi, wataalamu wanasema ni dawa ya magonjwa kadhaa jina lake la kisayansi au botanical name ni Calotropis procera kiswahili chake Mpumbula

No comments:

KAMISHNA KUJI ATOA WITO TANAPA KUWA NA SACCOS MOJA

Na Edmund Salaho - Tanga Kamishna wa Uhifadhi TANAPA, CPA Musa Nassoro Kuji ambaye pia ni mlezi wa HIFADHI SACCOS LTD ametoa wito kwa watumi...