Monday, March 19, 2007

Watoto wa bongo

Watoto halisi wa bongo hawa wakiwa kwao.

2 comments:

mloyi said...

Watoto wa Tanzania wakiwa kwao, wanakubalika kwao? je tunawaendeleza kama wako kwao? tunawapa nafasi ya juu kwenye maisha yao?

Simon Kitururu said...

Kusema kweli wako kwao . lakini ingependeza kama wangejulishwa haki zao

RAIS SAMIA ALETA FURAHA NA MATUMAINI BUSEGA, AFUNGUA MRADI MKUBWA WA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI

Shamrashamra za ufunguzi wa mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira wa Lamadi, Wilayani Busega mkoani Simiyu tarehe 19 Juni, 2025 Rais wa Jamhur...